ZAIDI YA TSH MILIONI 72.2 ZAPATIKANA KWA AJILI YA UJENZI WA MADHABAHU.

Na Emesto Eliudy, Dar Es Salaam. Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mashariki Ushirika wa Tabata-Liwiti, limekusanya kiasi Cha zaidi ya Tsh. Milioni 72. 2 kwa lengo la kujenga Madhabahu na Miundombinu mbalimbali ya Kanisa Hilo ikiwemo ukarabati wa nyumba ya Mchungaji. Akizungumza jijini Dar ES Salaam, Mchungaji wa Kanisa Hilo, Mch. Emmanuel Mahemb alisema